FOUR WAYS INTERNET & STATIONERY WANASHUGHULIKA NA USAMBAZAJI WA VIFAA VYA SHULE NA MAHITAJI MENGINE YA MAOFISINI IKIWA NI PAMOJA NA HUDUMA YA INTERNET MASAA 17 KWA SIKU INAFUNGULIWA SAA 7:00 HADI SAA 10:00 USIKU
K A R I B U S A N A
Asha Juma akificha uso baada ya kuhukumiwa kwenda jela. Mwanahamisi Ally akijifunika uso wakati akienda kuanza maisha ya gerezani.
WAFANYAKAZI wawili wa ndani wa Bi. Roshim Hirji, waliotajwa kwa majina ya Asha Juma, Mwanahamisi Ally na Mwanaidi Omary leo wamehukumiwa kwenda jela miaka mitatu kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kumwibia mwajiri wao jumla ya shilingi milioni 140
No comments:
Post a Comment