Sunday, October 11, 2015

MAMA SAMIA AMALIZA KAMPENI MKOA WA MWANZA NA KUANZA SHINYANGA KWA KISHINDO KLEO


MGOMBEA MWENZA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM, MAMA SAMIA SULUHU HASSAN, AKIWA KATIKA KIVUKO CHA MV MISUNGWI, WAKATI AKITOKA MWANZA KWENDA SENGEREMA MKOANI HUMO, KUENDELEA NA KAMPENI LEO

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi (Hawapo Pichani) aliosafiri nao katika Kivuko cha Misungwi, wakati akienda Sengerema kutoka jijini Mwanza, kwenda Sengerema kuendelea na kampeni zake leo 
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu Hassan (wapili kushoto), akiwa katika Kivuko cha mv Misungwi, wakati akitoka jijini Mwanza kwenda sengerema kuendelea na kampeni zake leo. Kushoto ni Mjumbe wa Kamati ya Kampanei za CCM Kitaifa, Christopher Ole sendeka na watatu pia Mjumbe wa kamati hiyo, Angela Kizigha na kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza Baraka Konisaga ambaye pia ni Kaimu Mkuu wa mkoa wa Mwanza
 Wananchi wakimsubiri kwa hamu Mgomea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan wakati Kivuko ca Mv Misungwi kilipokuwa kiliwasili katika eneo la Busisi wilayani Sengerema mkoani Mwanza
 
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akijiandaa kutoka katika kivuko cha Mv Misungwi, baada ya kuwasili Busisi wilayani Sengerema mkoa wa Mwanza leo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akilakiwa na Mkuu wa wilaya ya Sengerema, alipowasili kwenye Kivuko cha Busisi,wilanai humo leo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi wakati akitoka kwenye Kivuko cha mv Misungwi baada ya kuwasili Busisi wilayani Sengerema leo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza na baadhi ya wananchi waliomlaki eneo la Busisi baada ya kushuka katika Kivuko cha Mv Misungwi leo
 Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan ukenda katika jimbo la sengerema mkoani Mwanza leo











Kina Mama wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan wakati akipita kwenye Kijiji kimoja wakati msafara ukienda Jimbo la Sengerema mkoani Mwanza leo
Wananchi wakiwa wameusimamisha msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Nyasenga, wakati ukienda Sengerema mkoani Mwanza leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suluhu Hassan, akihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni aliofanya katika jimbo la Sengerema mkoani Mwanza leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubunge jimo la Sengerema, William Ngeleja wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo hilo leo
Baadhi ya wagombea Udiwani katika jimbo la Sengerema, mkoani Mwanza wakiwasalimia wananchi waliponadiwa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo hilo leo
Magombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi katika mkutnao wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Buchosa mkoani Mwanza leo













Umati wa wananchi ukimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suluhu Hassan alipouhutubia kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Buchosa mkoani Mwanza
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Buchosa, Charles Tizeba, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Mwanza
Baadhi ya wagombea Udiwani katika jimbo la Buchosa, wakisalimia wananchi baada ya kunadiwa na mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo hilo leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika Uwanja wa Sabasaba, eneo la Maganzo katika jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga leo
Wananchi wakimshangilia mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga 
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimkabidhi  kitabu cha Ilani ya CCM, Mgombea Ubunge jimbo la Kishapu Suleiman Nchambi baada ya kumnadi katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo hilo mkoani Shinyanga leo
Mgombea  Ubunge jimbo Shinyanga mjini Steven Masele akiomba kura kwa wananchi wakati wa mkutano wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Chuo Cha Biashara mkoani Shinyanga leo
Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Shinyanga mjini mkoani Shinyanga
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea bunge jimbo la Shinyanga Mjini, Steve Masele, katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo. 

No comments: