Monday, April 9, 2012

Uzinduzi wa Miss Tabata 2012 wafana vilivyo Dar West Tabata


 Warembo wa wanaoshiriki shindano la kumsakama Malkia wa Tabata 2012 wakipozi mbele ya mashabiki wa burudani ya urembo jijini Dar es Salaam waliohudhuria uzinduzi wa shindano hilo la Urembo katika Ukumbi wa Dar West Park Tabata jana. 
 Warembo wakicheza Show maalum ya utambulisho wao. Goma la Don’t Take My Number ndo liliwaongoza.
Warembo wa wanaoshiriki shindano la kumsakama Malkia wa Tabata 2012 wakipozi mbele ya mashabiki wa burudani ya urembo jijini Dar es Salaam waliohudhuria uzinduzi wa shindano hilo la Urembo katika Ukumbi wa Dar West Park Tabata jana.
Mwimbaji mkongwe asiyechoka wala kuzeeka, Mumin Mwijuma akikamua na kundi lake la Twanga Pepeta.
 Wanenguaji wa Bendi ya Twanga Pepeta wakishambulia Jukwaa vilivyo.
 Ilikuwa ni mshike  Mshike kwa show za kufa mtu hakuna kukaa.
Wadau wa Burudani na Urembo wakifatilia burudani na uzinduzi ho ulioletwa na Bob Interteinment na kudhaminiwa na Konyagi na Dodoma Wine.
 Mwana dada Aisha Ramadhani "Aisha Mashauzi" aliwashika vilivyo na walikatika nyonga ile mbaya kwa taarabu yake kali.

No comments: