Tuesday, November 27, 2012

Mawaziri Afrika Mashariki Wakutana


 Mwanasheria wa Jumuiya ya Afrika Mashariki,Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiongoza Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya hiyo. Kushoto ni bwana Wilbert Kawa Katikati ni bwana Dr. Richard Sezibera na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano Uganda. Mkutano huu umefanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa Kenyetta leo jijini Nairobi
 Waziri wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Samweli Sitta pamoja na Waziri wa Uchukuzi na Mhe Ole Nangoro Naibu Waziri Kilimo na Mifugo wakifuatilia kwa makini jambo katika Mkutano wa Baraza la Mwawaziri wa Jumuiya uliofanyika leo Jijini Nairobi.
 
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo akifuatilia kwa karibu mkutano unaoendelea Nairobi katika Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya

No comments: