Monday, February 18, 2013

NAPE AUNGURUMA GOBA KATIKA MKUTANO WA HADHARA LEO


Chama cha Mapinduzi (CCM) leo kimefanya mkutano wake wa hadhara katika Kata ya Goba nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Mkutano huo ambao ulijaza umati wa watu wakiwamo wanachama wa chama hicho ulihutubiwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa, Nape Nnauye.






No comments: