umati mkubwa wa wananchi waliofika kusikiliza mkutano wa Chadema Leo Iringa mjini

Katibu mkuu wa chadema Dk. Slaa Akihutubia katika mkutano wa wabunge chadema waliosimamishwa bungeni,
katibu mkuu wa Chadema Dkt Slaa (kushoto) akiwa na mbunge wa jimbo la Ubungo Jonh Mnyika katika mkutano wa wabunge wa chadema waliofukuzwa bungeni leo katika uwanja wa Mwembetogwa mjini Iringa

No comments:
Post a Comment