Jimmy Yeyooo!
Ni msanii wa hip hop anayekujaaaaaaaaaaaa katika tasinia ya Muziki wa Bongo,
Hapa ni pale alipokuwa katika kipimo(interview)hapa mjini Bukoba (VISSION RADIO) pensi nekundu
Akiwa na Dulah One.
.
Jimmy akiwa anaonesha kipaji chake kwa wanabukoba
Anakubalika hapa akiimba wimbo wake wa MASINICH unaotamba sana kwenye Vyombo vya habari ndani na nje ya nchi.
Katika kumbi za LINAS` NIGHT CLUB akiwa anatumbuiza
No comments:
Post a Comment