Monday, April 2, 2012

WADAU NDANI YA LINAS NIGHT CLUB JANA USIKU

 Msanii wa Abba One, ni msanii wa hapa hapa Nyumbani,ni mkali wa R&B 
 Dada hope Kasimbazi wa Makoko kama kawaida ndani ya nyumba







 Wadau wa burudani ndani ya Linas Night Club



 Mdau Ibrahimu Idd Maburuk  akifatilia kinacho ndani ya Llinas Night Club



 Wasanii wa Bukoba(Mkali wa kager) wamepata shavu na kuweza kumsuport Msanii Diamond, Pichani ni Msanii Bk Sunday akiimba kwa hisia





 
 Wadau wakiwa wametulia kama maji mtungini wanaangalia show

No comments: