Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Ali Mohamed Shein, (katikati)akifuatana na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini
Unguja Pembe Juma Pembe,(kulia) wakati alipowasili katika viwanja vya
Chuo cha Amali Mkokotoni akiwa katika ziara ya Mkoa huo iliyoanza
leo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
Ali Mohamed Shein, (katikati)akifuatana na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini
Unguja Pembe Juma Pembe,(kulia) wakati alipowasili katika viwanja vya
Chuo cha Amali Mkokotoni akiwa katika ziara ya Mkoa huo iliyoanza
leo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein, (wa tatu kushoto)akipata taarifa ya utekelezaji
wa kazi za Mkoa wa Kaskazini Unguja,iliyosomwa na Maalim Maulid
Nafasi Juma, leo katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni akiwa
katika ziara ya kuangalia maendeleo ya miradi mbali mbali ya kijamii
katika Mkoa huo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
Dk. Ali Mohamed Shein, (wa tatu kushoto)akipata taarifa ya utekelezaji
wa kazi za Mkoa wa Kaskazini Unguja,iliyosomwa na Maalim Maulid
Nafasi Juma, leo katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni akiwa
katika ziara ya kuangalia maendeleo ya miradi mbali mbali ya kijamii
katika Mkoa huo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Ali Mohamed Shein, akipokea taarifa ya utekelezaji wa kazi za Mkoa
wa Kaskazini Unguja,kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa kaskazini Unguja Pembe
Juma Pembe, leo katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni akiwa
katika ziara ya kuangalia maendeleo ya miradi mbali mbali ya kijamii
katika Mkoa huo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
Ali Mohamed Shein, akipokea taarifa ya utekelezaji wa kazi za Mkoa
wa Kaskazini Unguja,kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa kaskazini Unguja Pembe
Juma Pembe, leo katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni akiwa
katika ziara ya kuangalia maendeleo ya miradi mbali mbali ya kijamii
katika Mkoa huo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Ali Mohamed Shein, (katikati) akizungumza na viongozi na watendaji wa
Wilaya ya kaskazini B, katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni,
akiwa katika ziara ya kuangalia maendeleo ya miradi mbali mbali ya
kijamii katika Mkoa huo,(kushoto) Waziri wa Nchi Ofisi ya rais na
mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dk.Mwinyihaji Makame, (kulia) Waziri
wa Nchi Ofosi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Haji Omar
Kheir na Mkuu wa Mkoa wa kaskazini Pembe Juma Pembe.[Picha na Ramadhan
Othman Ikulu.]
Ali Mohamed Shein, (katikati) akizungumza na viongozi na watendaji wa
Wilaya ya kaskazini B, katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni,
akiwa katika ziara ya kuangalia maendeleo ya miradi mbali mbali ya
kijamii katika Mkoa huo,(kushoto) Waziri wa Nchi Ofisi ya rais na
mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dk.Mwinyihaji Makame, (kulia) Waziri
wa Nchi Ofosi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Haji Omar
Kheir na Mkuu wa Mkoa wa kaskazini Pembe Juma Pembe.[Picha na Ramadhan
Othman Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Ali Mohamed Shein, akifungua pazia kama ishara ya uwekaji wa jiwe la
msingi madasrasa mapya katika Skuli ya Matemwe Kigomani jana
aliupokuwa katika ziara ya wilaya ya Kaskazini B Unguja, Mkoa wa
Kaskazini kuangalia maendeleo ya miradi mbali mbali ya kijamii katika
Mkoa huo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
Ali Mohamed Shein, akifungua pazia kama ishara ya uwekaji wa jiwe la
msingi madasrasa mapya katika Skuli ya Matemwe Kigomani jana
aliupokuwa katika ziara ya wilaya ya Kaskazini B Unguja, Mkoa wa
Kaskazini kuangalia maendeleo ya miradi mbali mbali ya kijamii katika
Mkoa huo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
No comments:
Post a Comment