Thursday, July 26, 2012

Mansour Yusuf Himidi; Hata Nikivuliwa Uwanachama Wa CCM, Sitabadili Mawazo Yangu Kuhusu Muungano

Mweka Hazina wa Chama cha Mapinduzi kwa upande wa Zanzibar, Mansour Yusuf Himidi, amesema atasimamia mtazamo wake kuhusu muundo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unaofaa hata kama itapelekea kuvuliwa uwanachama.

No comments: