Tuesday, July 3, 2012

WASHIRIKI KATIKA SHINDANO LA KUMSAKA MISSS UTALII KAGERA 2012 WATEMBELEA BANDARI YA BUKOBA NA MELI YA MV.VICTORIA

Dinna Fashion kwa kushirikiana na Kiroyera Tours waandaji wa Miss Utalii Kagera 2012 waendeleza mikakati ya kuwajuza warembo mambo mbalimbali ususani ya ndani ya Mkoa wa Kagera
Pichani Kaka Mkuu akisalimiana na Warembo  hawa na kuwaambia karibu katika bandari ya Bukoba
Kaka Mkuu akitoa maelezo ya  awali mara tu baada ya kusalimiana na Warembo hawa, pembeni ni Bi Dinna , Mkurugenzi wa Dinna Fashion waandaaji wa Shindano la Miss U talii Kagera 2012 litakalofanyika mjini hapa  tarehe 14/7/2012 katika Ukumbi wa Linas Night Club.
Walimbwende wakisikiliza maelezo ya Kaka Mkuu kwa umakini  kabla ya kumkaribisha Afisa wa Bandari kwa maelezo zaidi
Afisa wa Bandari Mdau Ajuaye Kheri Msese akiwapa somo walimbwende katika kuwapa uelewa zaidi wa mambo mbalimbali.
Chanzo na bukoba wadu

No comments: