Saturday, August 25, 2012

Mkutano Wa CUF Jangwani Jumapili Septemba 9, 2012.

CUF – Chama Cha Wananchi, kitafanya Mkutano mkubwa wa hadhara katika Viwanja vya Jangwani siku ya Jumapili tarehe 09/09/2012 kuanzia saa 6 mchana hadi 12 jioni.

Viongozi wote wa kitaifa watahudhuria.Nyote mnakaribishwa!

                  ASIBAKI MTU NYUMBANI

Ni “Mchakamchaka mpaka 2015”Hakiiiiii....!Sawa Kwa Wote!!!!

No comments: