Mwanamuziki Diamond anayevuma kwa sasa hapa nchini kifanya onyesho zito na la kukata na shoka mbele ya mashabiki wake kwenye ukumbi wa Dar Live, onyesho hilo lililofanyika jana siku ya jumapili na kuvuta hisia za mashabiki wake lukuki waliojitokeza kumshuhudia akishuka na helikopta kama ilivyokuwa imetangazwa na waandaji wa onyesho hilo.

Mwanamuziki Diamond akijiandaa kwenda kupanda helikopta tayari kwa kuelekea katika ukumbi wa Dar Live

Mwanamuziki Diamond akiwa kwenye helikopta tayari kuelekea Dar Live.

Hapa akionyesha ishara ya kuwasalimia mashabiki wake kwa heshima.

Akiuangalia umati mkubwa uliojitokeza kwenye ukumbi wa Dar Live ili kushuhudia wakati akishuka na helikopta.

Wacheza shoo wake wakifanya vitu vyao jukwaani.

Wasanii wa Pah One, Watanzania wenye maskani yao Afrika Kusini wakifanya vitu vyao

Timbulo akifanya vitu na dancers wake

Katika shoo zote za Dar Live, Diamond amevunja rekodi ya idadi ya mashabiki



















Diamond atua Mbagala kwa chopa

Diamond akikupa saluti kabla ya kupasua anga

Huko chini mashabiki wanakanyagana kumsubiri Diamond

mashabiki

Diamond ni nouma

Anaingia Dar Live

Akielekea kwenye chopa

Rubani akimpa maelekezo Diamond

Dua kabla ya kupasua anga...

Nyomi ya Dar Live ikimsubiri supa star wao Diamond

Sio kampeni ni Diamond akitua Mbagala

Akiaga rubani wa chopa iliyomleta

Mbagala hapatoshi

Diamond akielekea ukumbini baada ya kutua na chopa

Salamu kwa mashabiki

Pamoja na mvua na mafuriko mashabiki wamo tu


Mnyonge mnyongeni, ila haki yake mpeni. Diamond hakamatiki....

Ni nani kama Diamond?

Diamond akipagawisha

Hakuna cha kujali mvua wala nini
![]() |
kaPicha zote na Global Publishers |
No comments:
Post a Comment