TAARIFA YA KUMUAGA NA MAZIKO YA STEVEN KANUMBA 09/04/2012
Kesho, Jumanne tarehe 10 Aprili 2012 kuanzia saa nne asubuhi hadi saa tisa alasiri, mwili wa marehemu Steven Charles Kanumba utakuwa katika viwanja vya Leaders (Leaders Club) kwa ajili ya kuagwa.
Baada ya kuagwa, mwili wa marehemu utaelekea kwenye makaburi ya Kinondoni ambapo shughuli za maziko zitaana saa 10 alasiri kwa ajili ya kupumzishwa.

Hivyo Kanumba atazikwa makaburi ya kinondoni na ataagwa siku ya jumanne katika viwanja vya leaders kinondoni.
Baada ya kuagwa, mwili wa marehemu utaelekea kwenye makaburi ya Kinondoni ambapo shughuli za maziko zitaana saa 10 alasiri kwa ajili ya kupumzishwa.
Mama mzazi wa Steven Kanumba anayeitwa Flora Mtegoa (katikati aliyeshika tama), akiwa amezungukwa na ndugu,jamaa na waombolezaji wengine mara baada ya kuwasili nyumbani kwa Marehemu Sinza-Vatican
Hivyo Kanumba atazikwa makaburi ya kinondoni na ataagwa siku ya jumanne katika viwanja vya leaders kinondoni.

PICHA YA MAREHEMU STEVEN KANUMBA

MKE WA WA WAZIRI MKUU PINDA AKIWEKA SAINI KWENYE KITABU CHA MAOMBOLEZO CHA MSANII MAARUFU STEVEN KANUMBA

WAZIRI WA USHIRIKIANO AFRICA MASHARIKI MH: SAMWELI SITA NAYE ALIWEKA SAINI

RIDHIWAN KIKWETE NAYE ALIWEKA SAINI KWENYE KITABU CHA MAOMBOLEZO
























No comments:
Post a Comment