Wednesday, April 11, 2012

TANZANIA TUMEJARIWA NA VIVUTIO VINGI

Hapa ni baadhi tu.

LUCY MWITA MREMBO WA KIKULYA MWENYE KITU CHA ZIADA

          Lucy mwita.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
                 Karibu Tanzania kuna vivutio vingi pembezoni mwa bahari ya Hindi.
 
 
 
 
 
  Lucy Mwita ni mrembo mwenye miaka 23 ana elimu ya diploma ya utawala wa biashara anapendelea kuogelea na kusikiliza muziki,anapenda kusifiwa.
   Mrembo huyu wa kikulya ni mkazi wa g'mboto jijini Dar anapenda kula wali na samaki na yupo katika mahusiano na mpenzi wake.
   Rangi aipendayo ni Green apple na matarajio yake ya baadae nikuwa mfanyabiashara wa kimataifa 

No comments: