Sunday, June 17, 2012

Mr Nice, Maunda Zoro uso kwa uso.


Maunda akitoa burudani.
........ akimnongoneza jambo Mr Nice.
Mr Nice akitoa namba yake ya simu kwa shabiki wake.
Mr Nice akiwapagawisha mashabiki.…

Maunda akitoa burudani.
........ akimnongoneza jambo Mr Nice.
Mr Nice akitoa namba yake ya simu kwa shabiki wake.
Mr Nice akiwapagawisha mashabiki.
Mashabiki wakimpongeza Mr Nice mara baada ya kumaliza kuimba.
 
 Maunda Zoro na Mr Nice wakiwa katika pozi la pamoja.
Usiku wa kuamkia leo kulifanyika onyesho la muziki wa kizazi kipya ndani ya ukumbi wa Mpo Africa Night Club uliopo Devis Corner Tandika.
Katika onyesho hilo wanamuziki Maunda Zoro na Mr Nice waliwapagawisha mashabiki kwa shoo mzuri.

(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY)

No comments: