Monday, June 25, 2012

NAPE ANOGESHA MAHAFALI YA WANA-CCM CHUO KIKUU CHA TEKU MBEYA

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia wanachama wa CCM, tawi la Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) Mbeya, katika mahafali ya kuwaaga, leo Juni 25, 2012, katika hoteli ya Paradise mjini Mbeya.

Wana_CCM tawi la Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) Mbeya wakimpa zawadi ya picha yake, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na uenezi, Nape Nnauye wakati wa mahafali ya wana-CCM tawi la chuo hicho.

Nape akiifurahia picha yake baada ya kuzawadiwa na wanachuo hao.

No comments: