Askari wa jeshi la Polisi kikosi cha kutuliza ghasia wakiwadhibiti vijana waliokuwa wakileta vurugu eneo la mbagala kufuatia kijana mmoja anaesemekana anasoma kidato cha kwanza kukojolea mkojo Quraan na kusababisha hasira kwa waisilamu hassa vijana ambao walitapakaa mitaani na kuanza kuleta vuru.
Vijana waliosambaa mitaani na kuamsha vurugu kubwa kwenye eneo hilo la Mbagala Kizuiani.
Waisilamu waliotoka msikitini kwenye swala ya Ijumaa walikumbana na kimbembe cha kamatakamata hatakama hawakuwemo kwenye sakata hilo, alama ni kanzu na sijda
Hapa baadhi ya waisilamu walioamua liwalo naliwe nakuamua kuwatunishia msuli polisi nakusema pigeni mpendavyo hatoki mtu.
Barabara zilikua zikiharibiwa kwa moto ulikuwa ukiwashwa na waisilamu hao wenye hasira.
Maji ya kuwasha yalikuwepo ingawa hayakuweza kuzuia vurugu hizo.
Askari na watuhumiwa wakivuka pamoja kwenye mtaro wa maji taka. |
Watuhumiwa wavurugu hizo wakipandishwa kwenye gari la polisi.
Kibao cha kanisa kikiwa kimevunjwa.
…Hili lilichomwa moto.
---
WATU
wanaodaiwa kuwa ni Waislamu wamevamia makanisa mbalimbali yaliyopo
Mbagala Kizuiani jijini, Dar wakihamasisha vurugu wakimtuhumu mtoto
Emmanuel Josephat kuwa amekojolea kitabu cha dini hiyo (Msaafu) Oktoba
10, mwaka huu.
Baadhi ya makanisa yaliyoshambuliwa ikiwa ni pamoja na kuchomwa moto magari yao ni Kanisa la Sabato, Aglikana na T.AG .
(PICHA/HABARI: ERICK EVARIST/GPL)
Baadhi ya makanisa yaliyoshambuliwa ikiwa ni pamoja na kuchomwa moto magari yao ni Kanisa la Sabato, Aglikana na T.AG .
(PICHA/HABARI: ERICK EVARIST/GPL)
No comments:
Post a Comment