Wednesday, October 10, 2012

Waziri wa Elimu awasili Washington DC

Dk. Shukuru Kawambwa Waziri wa Elimu wa Tanzania akilakiwa na Bw.Suleiman Saleh, Afisa Ubalozi wa Tanzania Washington DC mara baada ya kuwasili katika uwanh=ja wa ndege wa Kimataifa wa Dulles Washington DC. Aliembatana na Mhe.Kawambwa ni Kamishana wa Elimu katika Wizara ya Elimu Profesa Eaustelia Bhalalusesa.
Bw, Suleima Suleiman Saleh akisaliamiana na Profesa Eaustelia Bhalalusesa baada ya kutambulishwa nae na Mhe.Dk.Shukuru Kawambwa.
Waziri wa Elimu wa Tanzania Mhe. Dr. Shukuru Kawambwa(Mb.) awasili Washington DC kuhudhuria mkutano na viongozi wa Benki ya Dunia kujadili masuala mbali mbali ya kuboresha sekta ya Elimu nchini Tanzania.kutoka kushoto ni Profesa Eaustelia Bhalalusesa, Dk. Shukuru Kawambwa Waziri wa Elimu wa Tanzania na Bw.Suleiman Saleh, Afisa Ubalozi wa Tanzania Washington DC

No comments: