Sunday, April 8, 2012

MABONDIA TOMASI MASHARI VS SELEMANI GALILE KUMALIZA UBISHI KESHO

 
Bondia Tomasi Mashari akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa na SElemani Galile kesho.
Bondia Tomasi Mashari kushoto na Selemani Galile wakiwa wameshikilia mkanda wa upingwa wa taifa utakaofanyika kesho katikati ni promota wa mpambano huo Prospa Rweimamu.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments: