FOUR WAYS INTERNET & STATIONERY WANASHUGHULIKA NA USAMBAZAJI WA VIFAA VYA SHULE NA MAHITAJI MENGINE YA MAOFISINI IKIWA NI PAMOJA NA HUDUMA YA INTERNET MASAA 17 KWA SIKU INAFUNGULIWA SAA 7:00 HADI SAA 10:00 USIKU
K A R I B U S A N A
Ni kijana kwenye mapenzi na chama cha DEMOKRASIA NA MAENDELE anajulikana kwa jina la Heshima mjini Bukoba.
Akiwa katika miangaiko yake ya kutafuta riziki kamera yetu ilimnasa akiwa amefunga bebdera ya chama hicho huku akiwa na furaha hisiyo na kifani mara baada ya kusikia ushindi wa Mh.Tundu Lisu
No comments:
Post a Comment