Uzee dawa!
Wazee katika kituo cha Kiirima kilichopo Tarafa ya Bugabo wilaya ya Bukoba.Mmoja wao akiwa amebebwa na mhudumu wa kituo kutoka nje ya chumba anacholala baada ya kutojiweza kutembea mwenyewe |
Huyu amekula pozi kwenye chumba chake na tabasamu la kale |
No comments:
Post a Comment