
Nikiongea na mmiliki wa hotel hiyo anaseme kuwa majira ya saa nane usiku akiwa amelala na familia yake alisitushwa na mshindo mkubwa kwenye nyumba yake jambo ambalo lilipelekea yeye kudhani kuwa kuna wezi wamevamia nyumba yake ila mara baada ya kuamuka alishangaa kuona gari limepaki katikati ya nyumba yake huku nyumba yake ikiwa imebomoka vibaya.
Chanzo cha habari hakijajulikana mpaka sasa hivi ili mmiliki wa gari hilo amelazwa katika hospitali ya mkoa Kagera kwa matibabu.
No comments:
Post a Comment