CHAMELEONE AFUNIKA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI NDANI YA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR
Diamond Platinumz.
Wakali wa Stage Naseeb Abdul 'Diamond Platinumz' na Jose Chameleone 'Dk' wakiwa 'Back Stage' kabla ya kupanda jukwaani kukata kiu ya mashabiki waliofurika Uwanja wa…
Mwanamuziki mahiri kutoka nchini Uganda, Joseph Mayanja 'Jose Chameleone' usiku wa leo amefunika vilivyo katika Tamasha la Usiku wa Matumaini lililofanyika ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Chameleone aliwarusha mashabiki kwa baadhi ya nyimbo zake za zamani kama Mambo bado, Kipepeo na ile mpya iitwayo Valu Valu inayopendwa na watu wengi hapa Bongo.
(PICHA ZOTE NA WAPIGA PICHA WETU WALIOKUWA UWANJA WA TAIFA/GPL)
No comments:
Post a Comment