Wednesday, July 18, 2012

Jk amkaribisha Rais wa Liberia Ikulu


Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete  na mgeni wao Rais Ellen Johnson Sirleaf wa Liberia alipowasili Ikulu jijini Dar es salaam leo kwa maongezi rasmi pamoja na dhifa ya kitaifa. rais huyo wa Liberia yupo nchini kwa zira ya kiserikali ya siku tatu kufuatia mualiko wa Rais Jakaya Kikwete.
 Rais Ellen Johnson Sirleaf wa Liberi, na mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete wakifurahia jambo wakati wakipokelewa na wanafunzi Ikulu
Rais Ellen Johnson Sirleaf wa Liberia, akisalimiana na wanafunzi wa kike kutoka  shule mbalimbali za sekondari jijini Dar es Salaam walipofika Ikulu kumlaki rais huyo Mwanamke aliyezuru nchini kwa ziara ya kiserikali. 

No comments: