Tuesday, October 9, 2012

MAMIA YA WANANCHI IRINGA WAFIKA KUMSIKILIZA MSIGWA,NASSARI

Baadhi ya wananchi wakiwa na mabango katika mkutano huo mwembetogwa Iringa leo

Mbunge wa jimbo la Iringa mjini Peter Msigwa akiwa Pamoja na Joshua Nasari Mb Arumeru

Wananchi waliojitokeza katika mkutano huo

Mbunge msigwa akihutubia

No comments: