Thursday, November 21, 2013

PINDA AFUNGA MAONYESHO YA BIASHARA AFRIKA.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipata maelezo kutoka kwa Bw. Gerge Buchafu wa Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogovidogo (SIDO) baada ya kufunga maadhimisho ya siku ya viwanda Afrika kwenye uwanja wa Maonyesho wa Mwalimu Nyerere, barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, Novemba 20, 2013. Kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Dr. Abdallah Kigoda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Viwanda na Biashara , Dr Abdallah Kigoda wakati alipofunga maadhimisho ya siku ya Viwanda Afrika kwenye uwanja wa maonyesho wa Mwalimu Julius Nyerere, Barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, Novemba 20, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akipata maelezo kuhusu  viatu  kutoka kwa Elizabeth George (kulia)wakati alipotembelea  banda la Woiso Original Products katika maonyesho yaliyoambatana na maadhimisho a siku ya Viwanda Afrika yaliyofaungwa na Waziri Mkuu Novemba 20, 2013 kwenye  uwanja wa maonyesho ya biashara ya kimataifa ya Mwalimu Nyerere, barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam . Kushoto kwake ni Waziri wa Viwanda na Biashar, Dr. Abdallah Kigoda na kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: