Friday, October 30, 2015

MKURUGENZI WA UCHAGUZI JIMBO LA ILEMELA AMTANGAZA BI.AGELINE KUWA MBUNGE MTEURE WA JIMBO LA ILEMELA

Mkurugenzi wa Uchaguzi Jimbo la Ilemela amemtangaza rasimi Bi,Angeline Mabula kuwa mbunge anayesubili kuapishwa ili kuanza kutekeleza majukum ya mbunge ndani ya jimbo la Ilemela


 Bi.Angeline akikabidhiwa cheti cha ushindi
 Bi.Angeline akupeana mkono na Mkurungenzi wa uchagauzi
 Mkurugenzi wa Uchaguzi akiwapungiz mkono wananchi mara baada ya kumaliza kumkabidhi cheti cha ushindi Bi.Angeline

Ni Mbunge mteule wa Jimbo la Ilemela akiwaonesha wananchi waliomchagua cheti cha ushindi alichokabidhiwa na mkurugenzi wa uchaguzi.

No comments: