Saturday, April 7, 2012

NATANGAZA KIFO CHA KANUMBA


RIP Steven K

enzi za uhai wake
lulu mdogo wangu
what a tragedy



Dear Wadauzz

nasikitika kutangaza kifo cha Steven kanumba ambaye amefariki leo saa saba ya usiku,maiti ipo Muhimbili hospital.

chanzo cha kifo,inasemekana Lulu na Kanumba were dating secretly,na walikuwa pamoja wakati wa kifo chake,Lulu alimsukuma Kanumba wakiwa katika ugomvi na kanumba akadondoka na kutoa damu na ndipo mauti ilimshika
kwa sasa Lulu yupo Osterbay police.

nitawaletea more updates
ila tusimlaumu Lulu kwani ugomvi katika mapenzi unatokea.

No comments: