Mwenyekiti wa KCU akiomba ulaji kwa wakulima
Mwenyekiti wa Bodi ya KCU (1990)LTD John Binushu akiomba kura za kutetea nafasi yake.Alipita bila kupingwa!.KCU ni Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Kagera |
Leonida Muhazi naye alitetea nafasi yake ya kuendelea kuwa mjumbe wa Bodi ya KCU |
Tafakari kabla ya kupiga kura ya kugawa ulaji |
Tunaunga hoja mkono,hakuna haja ya Mwenyekiti aliyepita bila kupingw |
No comments:
Post a Comment