YALIYOJIRI KATIKA UZINDUZI WA NDEGE YA ATCL BOEING 737-500 WIKI ILIYOPITA
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgHDVlGQisE7opZjB8USBGl0Nhb2kdRVUnzRCp5Oc9sCruhH5QqgJS7BJxeig9vjcQiNF4yUq5E0n-ULYUbNhi0O37tlTr7fomguXoLNB4i0otVDaZKftSYLiLaU6VOj2gVqpbsbUUbAWE/s640/z18.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la ndege la Air Tanzania Cooparation ATCL Bw. Paul Chizii akikata utepe kuashiria uzinduzi wa ndege mpya ya shirika hilo aina ya Boeing 737-500 kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza iliyozinduliwa mwishoni mwa wiki iliyopita na kuanza safari zake rasmi katika mikoa ya Kilimanjaro- Mwanza na Dar es salaam wanaoshuhudia uzinduzi huo ni wafanyakzi wa ndege hiyo kulia Erica na kushoto Doris.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhDE9X9vTFgdB5qZRGCEa_BP17P6FqGZzaSEZ6_1fO3AzIUt8AfzOucnfNnUJA1YFZymebfgvJ42Tp-u7WkwTwNjsAOGLPp75jSMHosiYA5otCWOlUgO357u7OExJaFAFqfrdSInun0byY/s640/z15.jpg)
Ndege hiyo ikiwa imetua kwenye uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)
Keki ikiingizwa kwenye ndege na mfanyakzi wa ndege hiyo Erica kwa ajili ya uzinduzi huo.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiEz95-0IMQG6MmKCTLKjMhn0BkaehVr6YlZXeEkD0Q9cm_gE5Cfa-UaCDVub4hyfHgafiZsgm4r4z1ZL-nNsiRPjE64Fp2Y-blei0a4dHweV4XJEAt8TxuRm92nmzvAw1HAAxtvRxGn2o/s640/z11.jpg)
Abiria wakipata huduma mbalimbali kwenye ndege.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj66am-ps0l4FnSWGIwMSC7BOnkjqDAKu65SJ8liEeY2TV14L_tidkjg24ZE0XCgtdXBh3BtbNlAnejErGUIGQDRdIgGk3sc9WgryRl-BVSD4FMoAfJ05e5qv6cLV5WqKBys3Tyf2WTey4/s640/z5.jpg)
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo wakiwa kwenye ndege hiyo wakati wa safari ya kwenda Kilimanjaro na Mwanza na kisha kurejea jijini Dar es salaam.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiCx0K5w8sT3IQpEHeqDWmvt6yZTXs2to2atq1XHcvmEyGOuXGCunk4pfYSOM4h4_5KrgW7oMdVeJz4CI4tmYZ9twHGr7ccP0BW_0yjSrWiMqg5vs7gNTo9iQA8btOhiZlV-5l-z_0oM4s/s640/z6.jpg)
Baadhi ya wafanyakzi wa ndege hiyo wakiwa na nyuso za furaha baada ya ndege hiyo kuzinduz safari zake tena.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjJDZOF-uK-eOliPzbOsonVwR0FgXcCPf0pT4Tv3IgctFLHSTLYBpAdKU5xadAJ2AbBzgkjU1FhjZbJETkke2Z0AtSQxYm__NvDpEF4A-XtlEdoi6acvLDc4a3fr0lhMIwUoZwxmLZks4Q/s640/z9.jpg)
Abiria pamoja na baadhi ya wafanyakazi wakiwa kwenye ndege.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAs72RFF3YPmLwDuCOfXv7tR-dCrcDzr5kYyjhRSpBF-Y1VLzNs5ihsYqTRElVd1FbncspCFK7FkHAIDO2zgRDMRU_U1SSjftaC_PcFvFbFS53oimdAWZYLlzhGV9BPc2X33H8elHyasE/s640/z7.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la ndege la Air Tanzania Cooparation ATCL Bw. Paul Chizii akifurahia jambo na Mkuu wa mauzo wa kampuni hiyo Bi. Mwanamvua.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgesYY_YePgJc-C3oMXvjPnNKbbwaVW-dZnXutxSaFaMx3fa0QIoWGEtag9-WKEwm_So2qyPOPsT4SUwGoN_s4K9s5OyQYfmEIhZPw7rAHtXnTWQ4uUfysCMSBZSOgJ2eijmGKkOavZrk0/s640/z10.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la ndege la Air Tanzania Cooparation Limited ATCL Bw. Paul Chiziiakisalimiana na abiria mbalimbali waliokuwemo katika safari za kuzindua ndege hiyo.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgE16Jg29YdVnxV1YDA7H89zMbvuYOqujMG1rYDbMn_G_OOjn2UowIFJ8WxlxnTAZDXqXU4yexNwTXT4V9Iz9jPj_cvKF05Kt8YAw8-lyw93eoh1UGdHiu2jPEjddAq8N07fRM9Ah_Gycw/s640/z13.jpg)
Wafanyakazi wa shirika hilo pamoja na wale wa Kilimanjaro International Airport wakipunga mikono yao kuikaribisha ndege hiyo wakati ilipowasili katika uwanja huo.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYQxANiZkPTpFYaLHicge3uqF-nNtKDWmCAmAW8b4GHMN4SqAzugi4o2xSYWKzeZEnVT_C0npM2DM0CmwJ3hZyk3acpa0UNYNstJJwW06DDdxBr47DhqIGrv_XN-V-WZ6ZWdwx1cXvy4g/s640/z16.jpg)
Baadhi ya Abiria wakishuka kwenye ndege kwenye uwanja wa ndege wa (KIA)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjy2NaeX1R8zELrTz3h50X1NLjEw4S0HM176p3fT0kBX7wtS7IHISonDggt46JtmgIzet1dajxyA2zaNlqYKnWeN93ATkNBo69uf6qlPbUWxCHo_bSjdgk0AjGeOaq60cmSqrh9xeEH7qs/s640/z17.jpg)
Baadhi ya Abiria wakishuka kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg9-CB4_gsy_myO_jl7zlRl8RrtxivUjL5NSTJ_TgBn2EzpVOCGNYiBrnGWxB9-60xrhnWz5n2tFI2UBn-unkDG20Y-UHinft9gezVikMFjFTKd8OiTu-QkNERGOgvcqNhgpTC0Q9ohJ6I/s640/z19.jpg)
Kutoka kulia ni wadau wa kampuni ya ndege ya ATCl Rinah, Neema na Marina wakiwa katika sherehe hiyo jijini Mwanza.
No comments:
Post a Comment