Katika SUPER MARKET M YETU YA KIJIJI Hapa unahakikishishiwa sehemu ya kuegeshea baiskeli yako. Kuna karibu bidhaa zote muhimu kukuwezesha kula ukashiba na mengineyo ya muhimu kwa nyumba ya mlalahoi; mafuta ya kupikia, mchele, maharage, unga, sukari, sabuni ya kufulia/kuogea, dagaa, samaki wakavu na wabichi , mafuta ya taa, koroboi na vingine vyote muhimu kwenye nyumba ya mlalahoi.
FOUR WAYS INTERNET & STATIONERY WANASHUGHULIKA NA USAMBAZAJI WA VIFAA VYA SHULE NA MAHITAJI MENGINE YA MAOFISINI IKIWA NI PAMOJA NA HUDUMA YA INTERNET MASAA 17 KWA SIKU INAFUNGULIWA SAA 7:00 HADI SAA 10:00 USIKU K A R I B U S A N A
Wednesday, May 2, 2012
SUPER MARKET
Katika SUPER MARKET M YETU YA KIJIJI Hapa unahakikishishiwa sehemu ya kuegeshea baiskeli yako. Kuna karibu bidhaa zote muhimu kukuwezesha kula ukashiba na mengineyo ya muhimu kwa nyumba ya mlalahoi; mafuta ya kupikia, mchele, maharage, unga, sukari, sabuni ya kufulia/kuogea, dagaa, samaki wakavu na wabichi , mafuta ya taa, koroboi na vingine vyote muhimu kwenye nyumba ya mlalahoi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment