Wednesday, August 1, 2012

CHADEMA WATETEA KITI CHA NAIBU MEYA MUSOMA MJINI

Baadhi ya madiwani waliohudhuria
Uchaguzi wa Naibu Meya wafanyika na naibu Meya Bwire Nyamwero  amepajipatia kura zipatazo 13 ambapo Diwani wa Chama cha Upinzani CCM, Ally Helce Jama akapata kura 4.
Akitangaza matokeo ya Uchaguzi Kaimu Mkurugenzi John Maselo alimtangaza Nyamwero kuwa Naibu Meya.
Awali Naibu Meya alikuwa, Mama Angela Gerick Lima ambaye kwa taratibu za CHADEMA aliteuliwa na kupata kura punguza katika Uchaguzi uliofanyika Wiki iliyopita Julai 28 katika kikao cha kamati Tendaji cha CHADEMA alipata kura 3 na Diwani mwingine pia kupata kura pungufu 9, ambapo Nyamwero alipita kwa kura 13.

No comments: