MAISHA HAYA MPAKA LINI?NA MNAHISI KUWA YATAISHA KAMA KINACHOPATIKANA KINATUMIWA NA WENYE DHAMANA YA KUHUDUMIA WANANCHI HAYA NGOJA TUONE MWISHO.............
Na Nizar K Visram
KULE Ulaya mfumo wa kikabaila ulipofifia na ukaibuka mfumo wa kibepari, athari moja ni kupungua kwa nguvu za kidini, yaani utawala wa kanisa ukaanguka na tabaka la kibepari likashika hatamu. Soma zaidi;
No comments:
Post a Comment