Kampuni hiyo ya FRIENDS imeleta basi hilo kuongeza nguvu na pia imeongeza uboreshaji wa safari zake za kila siku kwenda Kampala na Kurudi Bukoba. Pia imeweza kuongeza safari za Kampala - Bukoba - Mwanza. Hivyo wakazi wa Mkoa wa Kagera watanufaika na usafiri wa mabasi hayo wa Friends kwa kusafiri salama na kwa uhakika Siku hadi siku kwenda na kurudi.
Ndani ya basi kuna TV ya kisasa "Led' HD" pamoja na mziki safi, Huduma mbalimbali kama maji, n.k
pia huduma ya kwanza kama abiria atakuwa anajiskia vibaya watoa huduma watamfikia mara moja ndani ya basi hizo zinazosafiri kila siku. kwa usafiri wa uhakika tumia mabasi ya Friends.
No comments:
Post a Comment